Shirikisho la Soka la Uhispania (RFEF) limewafuta kazi Waamuzi 6 wa VAR akiwemo Mwamuzi Ignacio Iglesias Villanueva ambaye alipendekeza Vinicius Junior kutolewa kwa kadi nyekundu katika mechi ya Valencia dhidi ya Real Madrid
..... download Xtra 90 App



