Arsenal wako tayari kuuza wachezaji wanane wa kikosi cha kwanza msimu huu, huku kiungo wa kati wa Leicester City na Muingereza James Maddison, 26, na kiungo wa kati wa West Ham ya Uingereza Declan Rice, 24, wakiwa miongoni mwa wachezaji wapya wanaopania kuwasajili. (Mirror)
..... download Xtra 90 App



