Manchester United hawana budi kulipa pauni milioni 140 kama wanataka kumsajili mshambuliaji wa Napoli na Nigeria Victor Osimhen, 24, msimu huu baada ya kuafikiana dili la mchezaji-mwenza na mlinzi wa Korea Kusini Kim Min-jae, 26. (Il Mattino) via Mirror)
..... download Xtra 90 App



