Wapinzani wa Yanga katika mchezo wa fainali kombe la Shirikisho barani Afrika USM Alger wamewasili nchini Alfajiri ya leo wakitokea kwao Algeria tayari kwa mchezo huo utakaopigwa Jumapili May 28 katika uwanja wa Benjamin Mkapa
..... download Xtra 90 App



