Simba - Yanga - Local

TFF yataja wanaowania mchezaji bora FA na FAIR PLAY

Joel JJ By Joel JJ
β€’
26 May 2023
TFF yataja wanaowania mchezaji bora FA na FAIR PLAY

Kamati ya tuzo ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), imefanya uteuzi wa wachezaji watano kuwania tuzo ya mchezaji bora wa kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) na tuzo ya kuwania mchezaji Muungwana 'Fair Play'

Katika taarifa iliyotolewa na TFF, wachezaji waliotajwa kuwania tuzo ya mchezaji bora wa kombe la FA ni Fiston Mayele, Bakari Mwamnyeto, Clement Mzize wote kutoka klabu ya Yanga, Prince Dube na Abdul Suleiman Sopu kutoka klabu ya Azam Fc

Aidha wachezaji Saido Ntibazonkiza, Jean Baleke na Pape Ousmane Sakho wameteuliwa kuwania tuzo ya Uungwana

Saido na Baleke walifanya matukio ya uungwana kwenye mchezo dhidi ya Yanga wakati Sakho alifanya tukio la uungwana kwenye mchezo dhidi ya Geita Gold

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
1h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
1h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
5h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
9h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
11h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’