Meneja wa Manchester United Erik ten Hag anatarajia mshambuliaji wa Uingereza Marcus Rashford kuongeza mkataba wake na klabu hiyo ya Old Trafford, huku mkataba wa sasa wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25 ukikamilika mwishoni mwa msimu wa 2023-24. (Viaplay, viaManchester Evening News)
..... download Xtra 90 App



