Barcelona wanataka kumsajili kiungo wa kati wa Brazil Bruno Guimaraes, lakini klabu hiyo inaamini itapaswa kutoa ada ya uhamisho ya takriban euro milioni 100 (£87m) ili kuwashawishi Newcastle United kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 25. (Times)
..... download Xtra 90 App



