Klabu ya Simba imeungana na Watanzania kuomboleza na kutoa pole kwa familia ya shabiki aliyefariki uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo wa kombe la Shirikisho barani Afrika ambao Yanga walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 na USM Alger
Kabla ya mchezo huo kulikuwa na changamoto ya mashabiki waliojitokeza kwa wingi kuingia uwanjani na kupelekea kukanyagana katika jitihada za kuingia uwanjani pale mageti yalipofunguliwa




