Klabu ya Simba imeungana na Watanzania kuomboleza na kutoa pole kwa familia ya shabiki aliyefariki uwanja wa Benjamin Mkapa katika mchezo wa kombe la Shirikisho barani Afrika ambao Yanga walipoteza kwa kufungwa mabao 2-1 na USM Alger
..... download Xtra 90 App



