Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza ratiba ya mchezo wa fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kati ya Azam Fc dhidi ya Yanga
Mchezo huo utapigwa Jumapili Juni 12 katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga, saa tisa Alasiri

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza ratiba ya mchezo wa fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kati ya Azam Fc dhidi ya Yanga
Mchezo huo utapigwa Jumapili Juni 12 katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga, saa tisa Alasiri

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.