Mechi ya fainali kombe la FA ni Juni 12

Joel JJ By Joel JJ β€’ 29th May 2023


Mechi ya fainali kombe la FA ni Juni 12

Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetangaza ratiba ya mchezo wa fainali kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) kati ya Azam Fc dhidi ya Yanga

Mchezo huo utapigwa Jumapili Juni 12 katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga, saa tisa Alasiri


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.