Yanga - Local

Tuiunge mkono Yanga, inawakilisha nchi - Dk Shoo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 May 2023
Tuiunge mkono Yanga, inawakilisha nchi - Dk Shoo

Mwenyekiti wa Jumuiya ya Kikristo Tanzania (CCT), Dk Fredrick Shoo amesema ni wakati wa kuweka ushabiki pembeni na kuiombea Yanga, ili kuweza kutwaa ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika

Dk Shoo ambaye pia ni Mkuu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) alitoa rai hiyo wakati akizungumza kwenye maadhimisho ya siku ya CCT, ambapo yalifanyika kitaifa katika Usharika wa Moshi mjini mkoani Kilimanjaro na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali wa dini na serikali, akiwemo Waziri wa Fedha, Dk Mwigulu Nchemba ambaye alikuwa mgeni rasmi

Dk Shoo amesema Yanga inaiwakilisha nchi ya Tanzania katika Kombe la Shirikisho Afrika, hivyo watanzania wote wanapaswa kuweka ushabiki wa ndani pembeni na kuiombea pamoja na kuitia moyo, ili waweze kufanikiwa kuutwaa ubingwa

Yanga ilipoteza mchezo wa mkondo wa kwanza wa fainali kwa kufungwa mabao 2-1 dhidi ya USM Alger timu hizo zikitarajiwa kurudia nchini Algeria Jumamosi, Julai 03

More Stories

Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
3h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
6h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
7h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
8h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
8h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
9h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
10h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
10h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
23h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
23h ago
READ MORE β†’