Yanga - Local

Tatizo lipo kwa Rais wa Yanga - Feisal

Joel JJ By Joel JJ
β€’
1 Jun 2023
Tatizo lipo kwa Rais wa Yanga - Feisal

Kiungo wa Yanga, Feisal Salum 'Feitoto' amesema hana tatizo lolote na klabu ya Yanga ila ana tatizo na Rais wa klabu hiyo, Mhandisi Hersi Said

Akizungumzia sakati lake na mabingwa hao wa Tanzania Bara katika mahojiano ya Clouds FM radio, Feisal aliweka wazi kuwa yuko tayari kurejea Yanga iwapo kama Hersi ataondoka

"Kuna tofauti kubwa mno kati ya kiongozi wa juu wa Yanga aliyepita na huyu aliyepo hivi sasa. Hersi akiondoka Yanga ninafunga vitu vyangu haraka na kurudi kwenye kambi ya Yanga," alisema Feisal

Feisal ameusifu uongozi wa Dk Mshindo Msolla kuwa ulikuwa bora na kusikiliza wachezaji kuliko wakati huu ambao timu hiyo iko chini ya Rais Hersi

Hata hivyo kauli hiyo ya Feisal ni kama inakinzana na madai yake ya kuvunja mkataba kuwa sababu ilikuwa ni maslahi madogo aliyokuwa akilipwa na Yanga

Imebainisha kuwa mvutano uliopo kati yake na Yanga unatokana na sintofahamu iliyopo kati yake ya Rais wa Yanga Injinia Hersi Said

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
6h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
6h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
7h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
10h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
14h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
14h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
15h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
16h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
16h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
17h ago
READ MORE β†’