Yanga - Local

Rais Samia atoa maagizo kwa Yanga sakata la Fei Toto

Joel JJ By Joel JJ
β€’
6 Jun 2023
Rais Samia atoa maagizo kwa Yanga sakata la Fei Toto

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan ameitaka Klabu ya Yanga kumaliza mgogoro na kiungo Feisal Salum ' Fei Toto'

Rais Samia ametoa agizo hilo jana June 5, 2023 katika hafla ya chakula ya jioni ya kuwapongeza Yanga kwa kushiriki fainali za michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika 

Rais Samia amesema amesema hafurahishwi na migogoro kati ya viongozi na wachezaji, hivyo amewaagiza viongozi wa Yanga wakaumalize mgogoro wa Fei Toto

"Haipendezi klabu kubwa kama hii kuwa na ugomvi na mtoto mdogo, hebu kamalizeni, kisha mje nyumbani kunieleza," alisema

Yanga wamekuwa na mgogoro wa kimkataba wa muda mrefu na kiungo huyo huku Kamati ya Sheria na Hadhi ya wachezaji ambayo ilisikiliza malalamiko ya pande zote na kuamua kuwa mchezaji huyo bado anamkataba na Yanga mpaka 2024

Fei aliondoka Yanga kuanzia mwishoni mwa mwaka jana, baada ya kudai kuwa anahitaji maslahi zaidi, akavunja mkataba kwa kuweka kiasi cha Sh milioni 112 kwenye akaunti ya klabu hiyo, lakini baadaye Kamati ya Sheria Hadhi za Wachezaji iliyopo chini ya Shirikisho la Soka Tanzania TFF, ilisema kuwa mchezaji huyo bado ni mali ya Yanga kwa kuwa hakufuata taratibu za kuvunja mkataba huo

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’