Mabao matano ya kiungo mshambuliaji wa Simba Saido Ntibazonkiza aliyoyafunga Juni 6, 2023, dhidi ya Polisi Tanzania katika michuano ya Ligi Kuu Tanzania Bara, yamechochea mbio za kuwania tuzo za ufungaji bora, akiwa nyuma ya bao moja kwa kinara Fiston Mayele
..... download Xtra 90 App



