Ni rasmi sasa, kiungo mahiri Feisal Salum 'Fei Toto' ni mchezaji wa Azam Fc baada ya klabu ya Yanga kuthibitisha kumuuza kwa matajiri hao wa Dar kwa dau ambalo halikuwekwa wazi
Hatua imefikiwa siku mbili baada ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan kuiagiza klabu ya Yanga kumaliza mgogoro baina yale na mchezaji huyo
