Azam - Local

Feisal asaini mkataba Azam Fc

Joel JJ By Joel JJ
8 Jun 2023
Feisal asaini mkataba Azam Fc

Baada ya Yanga kuthibitisha kumuuza kiungo Feisal Salum kwenda klabu ya Azam Fc, mchezaji huyo kutoka visiwani Zanzibar ametambulishwa rasmi na Azam FC

Feisal anakuwa usajili wa kwanza kufanywa na Azam Fc kuelekea msimu ujao wa mashindano 2023/24

Baada ya kusaini mkataba wa kuitumia Azam FC, Feisal amemshukuru Rais Samia Suluhu Hassan kwa kumaliza sakata lake la kuvunja mkataba na klabu ya Yanga

Katika hatua za mwisho Feisal aliomba kuchangiwa fedha kwenda Mahakama ya Usuluhishi wa Michezo (CAS) kwa ajili ya suala la kimkataba na fedha hizo zilifikia Sh9 milioni

"Pesa sijui nani alitoa na nani ambaye hajatoa, kwahiyo mimi ambacho nitakifanya nitapeleka kwa watoto yatima, msikitini na nyingine kanisani, siwezi kurudisha nitapeleka kwa watu wenye uhitaji," alisema Feisal

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
4h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
4h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
7h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
7h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
8h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
8h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
8h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
8h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
9h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
10h ago
READ MORE →