Simba - Yanga - Azam - Local

Yanga yakabidhiwa ubingwa Mbeya

Joel JJ By Joel JJ
9 Jun 2023
Yanga yakabidhiwa ubingwa Mbeya

Ligi Kuu ya NBC imefikia tamati leo kwa Yanga kukabidhiwa kombe baada ya mchezo dhidi ya Tanzania Prisons ambao ulimalizika kwa Yanga kushinda mabao 2-0

Kiungo mshambuliaji wa Simba Saido Ntibazonkiza amefungana na Fistom Mayele kwa mabao baada ya wote kufunga mabao 17

Saido ameifungia mabao mawili Simba leo katika mchezo dhidi ya Coastal Union Simba ikishinda mabao 3-1

Mayele alifunga bao moja na kutoa assist moja katika ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Prisons

Licha ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City, timu hizo zitacheza play-off kuwania kusalia ligi kuu baada ya kumaliza katika nafasi ya 14 na 13

Azam Fc imeifumua Polisi Tanzania mabao 8-0 Prince Dube akifunga mabao manne katika mchezo huo uliopigwa uwanja wa Azam Complex

Polisi Tanzania na Ruvu Shooting tayari zilishashuka daraja kabla ya mechi za mwisho leo

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
3h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
4h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
6h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
6h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
7h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
7h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
7h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
8h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
8h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
10h ago
READ MORE →