Klabu ya Yanga leo Jumamosi kuanzia saa 5 asubuhi itasherehekea ubingwa wa Ligi Kuu ya NBC waliotwaa kwa msimu wa pili mfululizo kwa kufanya Parade kutoka uwanja wa Ndee wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere hadi Makao Makuu ya klabu hiyo, Jangwani
..... download Xtra 90 App



