Manchester City - Inter - International

Manchester City mabingwa Ulaya

Joel JJ By Joel JJ
β€’
11 Jun 2023
Manchester City mabingwa Ulaya

Manchester City imetwaa taji la kwanza la Ligi ya Mabingwa Ulaya baada ya ushindi wa 1-0 dhidi ya Inter Milan ya Italia usiku wa Jumamosi katika Uwanja wa Ataturk Olynmpiya huko Uturuki

Bao pekee la Manchester City lilifungwa na kiungo wa Kimataifa wa Hispania, Rodri dakika ya 68

Licha ya Manchester City kutawala kwa muda mwingi, ulikuwa mchezo wa nafasi chache Inter Milan wakiwa imara katika kujilinda

Kama sio umahiri wa mlinda lango wa Manchester City Ederson, Inter Milan wangeweza kurejesha bao hilo kwenye dakika za majeruhi Inter wakifanya mashambulizi makali langoni kwa Man City

Manchester City imefikia rekodi ya kushinda mataji matatu katika msimu mmoja, rekodi iliyowekwa na mahasimu wao Manchester United mwaka 1999

Linakuwa taji la kwanza kwa kocha Pep Guardiola kushinda tangu alipoondoka FC Barcelona, likiwa ni taji lake la tatu la Ligi ya Mabingwa

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
33m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
45m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’