Yanga - Azam - Local

Yanga yatwaa kombe la FA

Joel JJ By Joel JJ
β€’
12 Jun 2023
Yanga yatwaa kombe la FA

Kombe la Shirikisho la Azam (ASFC) limerejea tena kwenye makabati ya Yanga pale Jangwani baada ya kuichapa Azam Fc bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa uwanja wa Mkwakwani

Alikuwa ni Kennedy Musonda aliyeihakikishia Yanga medali ya dhahabu ya tatu msimu huu akifunga bao pekee kwa kichwa kwenye dakika ya 13

Haikuwa mechi rahisi timu hizo zikigawana vipindi, Yanga ikiwa bora katika kipindi cha kwanza na Azam Fc wakiwa bora katika kipindi cha pili

Ni msimu wa pili mfululizo Yanga inashinda mataji yote ya ndani kuanzia Ngao ya Jamii, Ligi Kuu na leo kombe la Shirikisho la Azam (ASFC)

Kwa hakika huu unaweza kuwa msimu bora zaidi kwa Yanga katika historia yao wakiwa pia wamecheza fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika (CAF CC)

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’