Kiungo mshambuliaji Saido Ntibazonkiza amefunga msimu kwa tuzo ya mchezaji bora wa mashabiki wa Simba kwa mwezi May 2023
Saido ameshinda tuzo hiyo baada ya kupigiwa kura nyingi na mashabiki wa Simba akiwashinda Hennock Inonga na Shomari Kapombe
Huu unaweza kuwa msimu bora kwa Saido akiendelea kuzikusanya tuzo
Jana TFF ilimtangaza kuwa mchezaji bora wa Ligi Kuu kwa mwezi Mei 2023 huku akisubiri tuzo nyingine katika usiku wa tuzo za TFF leo




