Azam - Local

Azam Fc yatema watano

Joel JJ By Joel JJ
β€’
15 Jun 2023
Azam Fc yatema watano

Baada ya kukamilisha usajili wao wa kwanza msimu huu wakimn'goa Feisal Salum 'Fei Toto' kutoka klabu ya Yanga, matajiri wa Azam Fc jana walitangaza kuachana na makocha wawili na wachezaji watatu

Kocha wa magolikipa Dani Cadena na kocha wa viungo Dk Moadh Hiraoui wamepewa mkono wa kwa heri

Timu hiyo pia imetangaza pia kuachana na nyota wao Bruce Kangwa raia wa Zimbabwe aliyedumu kikosini hapo kwa misimu Saba

Kangwa alikuwa nahodha wa timu hiyo alijiunga na Azam Fc mwaka 2016 akitokea Highlanders ya Zimbabwe

Azam Fc pia imeachana na kiungo wa kimataifa wa Kenya Kenneth Muguna pamoja na Mshambuliaji kutoka Zambia Rodgers Kola

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
30m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
42m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
10h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’