Yanga - Simba - Azam - Local

Stars karata muhimu dhidi ya Niger leo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
18 Jun 2023
Stars karata muhimu dhidi ya Niger leo

Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' leo inatupa karata muhimu uwanja wa Benjamin Mkapa ukiwa ni mchezo wa kuwania tiketi ya kufuzu michuano ya Afcon 2023 dhidi ya Niger

Tanzania inahitaji kushinda leo ili kuweka hai matumaini ya kufuzu huku ikiomba Uganda ipoteze mchezo dhidi ya Algeria ambao utapigwa huko Cameroon

Algeria tayari imefuzu wakati Tanzania, Uganda na Niger bado zinachuana kuwania nafasi ya pili

Tanzania inashika nafasi ya pili kundi F ikiwa na alama nne sawa na Uganda wakati Niger inashika nafasi ya nne ikiwa na alama mbili

Mechi ya mwisho kwa Tanzania ni ugenini dhidi ya Algeria hivyo kufanya mchezo wa leo dhidi ya Niger kuwa lazima kushinda na kwenda kusaka angalau alama moja huko Algeria

Mchezo utapigwa saa 10 jioni katika uwanja wa Benjamin Mkapa

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’