Chelsea wamewauliza Inter Milan ikiwa watamjumuisha kiungo wa kati wa Italia Nicolo Barella, 26, katika makubaliano ya kubadilishana ambayo yatamfanya mshambuliaji wa Ubelgiji Romelu Lukaku, 30, kuhamia Italia kwa mkataba wa kudumu. (Corriere dello Sport - in Italian)
..... download Xtra 90 App



