Yanga - Local - Transfer

Bangala azima tetesi za kuondoka Yanga

Joel JJ By Joel JJ
β€’
19 Jun 2023
Bangala azima tetesi za kuondoka Yanga

Kiungo kiraka wa Yanga Yannick Bangala amesema ataendelea kubaki katika kikosi cha Yanga kuhudumia mkataba wake

Siku chache zilizopita Bangala alitoa kauli yenye utata akidai ana asilimia 20 ya kubaki ndani ya kikosi cha Yanga msimu ujao

Lakini kulingana na mahojiano aliyofanya na Manara TV, Bangala amesema ataendelea kutumikia mkataba wake wa mwaka mmoja katika kikosi cha Yanga

"Mimi naipenda Tanzania, nafurahi kucheza hapa, bado nina mkataba na Yanga hivyo niteendelea kubaki hapa," alisema

Tangu sakata la Feisal Salum, uongozi wa Yanga umeweka msimamo kwa mchezaji yeyote anayetaka kuondoka wakati mkataba wake ukiwa haujamalizika ni lazima afuate utaratibu kwa kufanya mazungumzo na mabosi wake au kuitaarifu timu inayomtaka iwasilishe ofa Jangwani

Bangala na mlinzi wa kulia Juma Shaban msimu uliopita walisaini mkataba wa miaka miwili kila mmoja, mikataba ambayo itawaweka Jangwani mpaka mwishoni mwa msimu wa 2023/24

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
2h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
2h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
2h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
6h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
9h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
10h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
10h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
11h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
12h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
12h ago
READ MORE β†’