Simba - Local

Simba, Akpan hadithi imefika mwisho

Joel JJ By Joel JJ
20 Jun 2023
Simba, Akpan hadithi imefika mwisho

Klabu ya Simba imethibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba wa kiungo mkabaji Victor Akpan raia wa Nigeria

Akpan alijiunga na Simba msimu uliopita akitokea klabu ya Coastal Union hata hivyo hakuweza kukidhi mahitaji ya Simba ambapo alitolewa kwa mkopo kwenda klabu ya Ihefu Fc

Taarifa iliyotolewa na Simba imebainisha kuwa Akpan hatakuwa sehemu ya kikosi cha wekundu hao wa Msimbazi msimu ujao

Akpan anakuwa mchezaji wa pili kuachwa na Simba baada ya Augustine Okrah

Wababe hao wa soka ukanda wa Afrika Mashariki na kati wana mkakati mzito wa maboresho ya kikosi

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
6h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
7h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
9h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
9h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
10h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
10h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
10h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
10h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
11h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
13h ago
READ MORE →