Simba, Akpan hadithi imefika mwisho

Joel JJ By Joel JJ β€’ 20th June 2023


Simba, Akpan hadithi imefika mwisho

Klabu ya Simba imethibitisha kufikia makubaliano ya kuvunja mkataba wa kiungo mkabaji Victor Akpan raia wa Nigeria

Akpan alijiunga na Simba msimu uliopita akitokea klabu ya Coastal Union hata hivyo hakuweza kukidhi mahitaji ya Simba ambapo alitolewa kwa mkopo kwenda klabu ya Ihefu Fc

Taarifa iliyotolewa na Simba imebainisha kuwa Akpan hatakuwa sehemu ya kikosi cha wekundu hao wa Msimbazi msimu ujao

Akpan anakuwa mchezaji wa pili kuachwa na Simba baada ya Augustine Okrah

Wababe hao wa soka ukanda wa Afrika Mashariki na kati wana mkakati mzito wa maboresho ya kikosi


  

XTRA 90 INSIDER

Get the latest tactics & rumors delivered to your inbox.