Yanga - Local

Ambundo aachwa Yanga, kuibukia Dodoma Jiji

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Jun 2023
Ambundo aachwa Yanga, kuibukia Dodoma Jiji

Klabu ya Yanga jana ilithibitisha kuahana na kiungo mshambuliaji Dickson Ambundo ambaye amemaliza mkataba

Ambundo alijiunga na Yanga misimu miwili nyuma akitokea klabu ya Dodoma Jiji

Taarifa za kuaminika kutoka mkoani Dodoma zimebainisha kuwa nyota huyo wa zamani wa klabu za Alliance Fc na Gor Mahia ya Kenya, anarejea kwa waajiri wake wa zamani, Dodoma Jiji

Katika misimu miwili aliyocheza Yanga, Ambundo amefanikiwa kushinda mataji sita pamoja na kuishuhudia timu yake ikicheza fainali ya kombe la Shirikisho barani Afrika

More Stories

Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
35m ago
READ MORE β†’
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
10h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
11h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
11h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
18h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
19h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
19h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
20h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’