Transfer - International

Tetesi za soka Ulaya, Jumatano Juni 21 2023

Joel JJ By Joel JJ
β€’
21 Jun 2023
Tetesi za soka Ulaya, Jumatano Juni 21 2023

Fulham wanataka kumsajili kiungo wa Brazil Fred, 30, anayechezea klabu ya Manchester United. (Telegraph - usajili unahitajika)

Everton wana nia ya kumnunua kipa wa Crystal Palace na Uingereza Sam Johnstone, 30, ikiwa Jordan Pickford ataondoka katika klabu hiyo. (Sun)

Leicester City wanataka zaidi ya pauni milioni 50 kumnunua kiungo wa Uingereza James Maddison, 26, huku Tottenham na Newcastle zikimwania. (Sky Sports)

Manchester City wanakaribia kuafikiana kibinafsi na beki wa RB Leipzig wa Croatia Josko Gvardiol, 21. (Fabrizio Romano)

Arsenal wametoa ofa iliyoboreshwa ya £60m kwa mshambuliaji wa Chelsea na Ujerumani Kai Havertz, 24. (Mail)

Newcastle wanafikiria kusitisha nia yao ya kumnunua kiungo wa kati wa Inter Milan na Italia Nicolo Barella, 26. (Independent)

Crystal Palace wanamtaka Roy Hodgson mwenye umri wa miaka 75 kusalia kama mkufunzi. (Guardian)

Lakini Newcastle inapania kumsajili mshambuliaji wa Ujerumani Derry Scherhant, 20, kutoka Hertha Berlin. (Telegraph - usajili unahitajika)

Manchester City, Chelsea na Liverpool wanawania kumsajili kiungo wa kati wa Real Madrid na Uruguay Fede Valverde, 24, msimu huu. (Teamtalk)

BBC

More Stories

Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
19m ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
3h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
4h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
5h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
5h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
6h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
7h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
7h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
20h ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
20h ago
READ MORE β†’