Azam - Local - Transfer

Akaminko ni Azam Fc mpaka mwaka 2026

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Jun 2023
Akaminko ni Azam Fc mpaka mwaka 2026

Baada ya tetesi nyingi kumuhusu kiungo mahiri wa Azam Fc, James Akaminko, jana klabu hiyo ilitangaza kumuongeza mkataba

Akaminko ameongeza mkataba wa miaka miwili ambao utakaomuweka klabuni hapo hadi 2026

Nyota huyo aliyen'gara katika kikosi cha Azam Fc msimu uliomalizika, alikuwa akihusishwa kuwindwa na matajiri wa Kariakoo klabu za Simba na Yanga

Anakuwa mchezaji wa pili kuongeza mkataba katika klabu ya Azam Fc baada ya Sospeter Bajana ambaye pia alikuwa akihusishwa na Simba

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’