Simba - Namungo - Local

Nyoni aibukia Namungo Fc

Joel JJ By Joel JJ
β€’
23 Jun 2023
Nyoni aibukia Namungo Fc

Baada ya klabu ya Simba kutangaza kuachana na kiungo mkongwe Erasto Nyoni, ni rasmi mchezaji huyo kiraka ametua Namungo Fc amnbao wametambulisha usajili wake leo

"Tunayofuraha kuwataarifu kuwa Erasto Edward Nyoni amejiunga kuitumikia Timu yetu ya Namungo Fc akitokea Simba Sc. Karibu kwenye Familia ya Wauwaji wa Kusini Erasto Edward Nyoni," ilisema taarifa ya Namungo

Jana Simba ilitangaza kuachana na Nyoni baada ya kuwatumikia wekundu wa Msimbazi kwa miaka sita

Beno Kakolanya na Jonas Mkude nao waitangazwa kutokuwa sehemu ya kikosi cha Simba pia

Beno na Mkude wanatajwa kujiunga na klabu ya Singida Fountain Gate (zamani Singida Big Stars)

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
14h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
20h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’