Klabu ya Mashujaa ya Mkoani Kigoma imefanikiwa kupanda Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2023/2024 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa marudiano wa Mchujo wa kuwania kucheza ligi hiyo msimu ujao uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya
..... download Xtra 90 App



