Mashujaa - Local

Mashujaa wairejesha Ligi Kuu Kigoma

Joel JJ By Joel JJ
β€’
25 Jun 2023
Mashujaa wairejesha Ligi Kuu Kigoma

Klabu ya Mashujaa ya Mkoani Kigoma imefanikiwa kupanda Ligi Kuu ya NBC Tanzania Bara 2023/2024 baada ya kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Mbeya City katika mchezo wa marudiano wa Mchujo wa kuwania kucheza ligi hiyo msimu ujao uliofanyika jana kwenye Uwanja wa Sokoine Jijini Mbeya

Bao pekee la Mashujaa lilifungwa na John Budeba dakika ya 87 na kwa kwa matokeo hayo Mashujaa imepanda Ligi Kuu kwa ushindi wa jumla wa mabao 4-1 kufuatia ushindi mabao 3-1 katika mchezo wa kwanza uliofanyika kwenye Uwanja wa Lake Tanganyika Mkoani Kigoma wiki iliyopita

Msimu ujao wa 2023/24 ligi kuu itakaribisha wageni watatu kutoka Championship, mbali na Mshujaa timu nyingine iliyoanda Ligi Kuu ya NBC msimu ujao ni Mabingwa wa Championship 2022/2023 JKT Tanzania na washindi wa pili, Kitayosce FC ya Tabora

ruvu Shooting, Polisi Tanzania na Mbeya City zitaalikwa huko Championship

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’