Singida - Simba - Local

Singida Fountain Gate yambakisha Gomez

Joel JJ By Joel JJ
25 Jun 2023
Singida Fountain Gate yambakisha Gomez

Jana klabu ya Singida Fountain Gate ilitangaza kumuongeza mkataba kiungo raia wa Brazil, Bruno Gomez

Gomez amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea kuitumikia Singida Fountain Gate

Gomez alikuwa akihusishwa na klabu ya Simba ambayo ilianza mchakato wa kumsajili kabla ya matajiri ya Singida kushtuka na haraka kumfunga na mkataba mnono

Kiungo huyo anayeweza kucheza nafasi zote katika safu ya kiungo, alikuwa kinara wa mabao katika kikosi cha Singida BS akifunga mabao tisa

Alijumuishwa katika kikosi bora cha msimu ligi kuu ya NBC akiwa miongoni mwa waliowania tuzo ya kiungo bora

More Stories

BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
52m ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
1h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
2h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
2h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
2h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
2h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
3h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
4h ago
READ MORE →
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
14h ago
READ MORE →
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
15h ago
READ MORE →