Yanga - Local - Transfer

Yanga kutambulisha nyota wapya wiki ijayo

Joel JJ By Joel JJ
β€’
30 Jun 2023
Yanga kutambulisha nyota wapya wiki ijayo

Afisa habari wa Yanga Ali Kamwe amesema wiki ijayo wataanza rasmi kutangaza nyota wanaoingia katika kikosi cha Yanga kuchukua nafasi za wachezaji walioondoka

Kamwe amesema wiki hiyo ya kwanza mwezi Julai pia itasheheni matukio makubwa akiwataka Wanachama na Mashabiki wa Yanga wakae tayari

"Baada ya kumaliza Mkutano Mkuu, wiki ijayo itakuwa ya moto kwani tutakuwa na matukio makubwa kwa ajili ya klabu yetu"

"Tutafanya uzinduzi wa jezi zetu mpya kwa ajili ya msimu wa 2023/24 na pia kuna mikataba ya udhamini tutasaini kabla ya kuanza zoezi la kushusha vyuma"

"Wiki hii tutakamilisha zoezi la kuagana na wachezaji ambao tulikuwa nao msimu uliopita lakini hatutaendelea nao," alisema Kamwe

Dirisha la usajili linatarajiwa kufunguliwa kesho Julai 01 na kufungwa August 31

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
19m ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
31m ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
1h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
4h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
8h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
8h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
9h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
9h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
10h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
11h ago
READ MORE β†’