KMC - Local - Transfer

KMC yatenga Bilioni 1 za usajili

Joel JJ By Joel JJ
30 Jun 2023
KMC yatenga Bilioni 1 za usajili

Kwa mujibu wa Afisa habari wa klabu ya KMC Mwanadada Christina Mwagala amesema uongozi wa timu hiyo metenga bajeti ya Usajili inayofikia Bilioni 1 za kitanzania

Mwagala amesema malengo yao kwa msimu ujao ni kutwaa ubingwa Ligi Kuu ya NBC

Mwagala ametamba kuwa hawatasajili wachezaji walioachwa kutoka kwenye vilabu vya Simba,Yanga na Azam

Amesema watasajili wachezaji wapya na bora zaidi kuelekea kwenye dirisha kubwa hili la Usajili

KMC iliponea chupuchupu ikisalia ligi kuu baada ya kushinda mchezo wa play-off dhidi ya Mbeya City ambayo imeshuka daraja

More Stories

Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
Wamebaki wababe wawili tu wasiofungika Ligi Kuu
5h ago
READ MORE →
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
Afcon haiwezi kuondoka Tanzania, Kenya na Uganda : Motsepe
6h ago
READ MORE →
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
BREAKING: Tajiri wa Chelsea Boehly ang’atuka kwenye klabu
8h ago
READ MORE →
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
Ngorongoro Heroes yaweka malengo makubwa CECAFA U20
8h ago
READ MORE →
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
Yanga SC kukipiga mchezo wa kirafiki na St George uwanja wa Uhuru
9h ago
READ MORE →
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
Messi aongeza taji jingine, afikisha mataji 49 katika kazi yake
9h ago
READ MORE →
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
Raphinha, Yamal wampa wakati mgumu Mbappe mbio za ufungaji bora La liga
9h ago
READ MORE →
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
Manchester United yaanguka Old Trafford, yatupwa nje kwenye Carabao
9h ago
READ MORE →
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa  Yanga SC “Your next: Yanga”
SimbaSC yatuma ujumbe mzito kwa Yanga SC “Your next: Yanga”
10h ago
READ MORE →
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
Barcelona yaendeleza dozi La Liga, yaipiga Racing Santander 7-2
12h ago
READ MORE →