Dirisha la usajili (FIFA Connect) kwa klabu za Ligi Kuu, Championship League, First League na Ligi ya Wanawake ya Serengeti Lite kwa msimu wa 2023/24, linafunguliwa Jumamosi Julai 1 na kufungwa August 31 2023

Dirisha la usajili (FIFA Connect) kwa klabu za Ligi Kuu, Championship League, First League na Ligi ya Wanawake ya Serengeti Lite kwa msimu wa 2023/24, linafunguliwa Jumamosi Julai 1 na kufungwa August 31 2023
