Simba - Local - Transfer

Simba, beki Mkameruni ni suala la muda

Joel JJ By Joel JJ
β€’
2 Jul 2023
Simba, beki Mkameruni ni suala la muda

Taarifa za uhakika ni kuwa klabu ya Simba imekamilisha usajili wa mlinzi wa kati Che Fondoh Malone kutoka klabu ya Cotton Sport

Simba imekuwa kwenye majadiliano ya takribani wiki nzima na Cotton Sport juu ya uhamisho wa beki huyo mahiri ambaye alikuwa sehemu ya kikosi cha Cameroon kilichoshiriki michuano ya CHAN inayohusisha wachezaji wa ndani

Malone alicheza mechi zote za Cotton Sport katika ligi ya mabingwa msimu uliopita, timu hiyo ikiwa kundi moja na Mamelodi Sundown, Al Ahly na Al Hilal

Huu ni usajili wa gharama kubwa ambao Simba inakwenda kuufanya wakizingatia malengo ya klabu yao msimu ujao

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
18h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’