Mtibwa Sugar - Local

Mtibwa Sugar yajimilikisha Ligi ya Vijana

Joel JJ By Joel JJ
β€’
3 Jul 2023
Mtibwa Sugar yajimilikisha Ligi ya Vijana

Ligi Kuu ya Vijana U20 ilifikia tamati jana usiku ambapo Mtibwa Sugar ilifanikiwa kutwaa ubingwa baada ya ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Geita Gold

Ni katika mchezo wa fainali ya michuano hiyo ambayo ilipigwa katika uwanja wa Azam Complex, Chamazi jijini Dar es salaam

Huo ni msimu wa tano mfululizo Mtibwa Sugar wanashinda taji la mashindano hayo yanayohusisha timu za vijana wa U20 kwa klabu zote zinazoshiriki ligi kuu

Unaweza kusema Mtibwa Sugar sasa ni mabingwa wa kihistoria wa mashindano hayo

Azam Fc ilimaliza nafasi ya tatu baada ya ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Kagera Sugar katika mchezo uliopigwa mapema

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’