Simba - Transfer - Local

Simba yamtambulisha Onana

Joel JJ By Joel JJ
β€’
5 Jul 2023
Simba yamtambulisha Onana

Klabu ya Simba imetangaza usajili wa Kiungo Mshambuliaji kutoka klabu ya Rayon Sports ya nchini Rwanda, Leandre Willy Onana

Onana raia wa Cameroon, ametua Msimbazi kwa mkataba wa miaka miwili

Onana ametua Simba huku akiacha kumbukumbu nchini Rwanda ya kuwa Mfungaji Bora wa Ligi Kuu ya nchini humo msimu huu 2022/23, akifunga mabao 16 na sasa anatarajiwa kuendeleza kasi hiyo ya kufunga na kutengeneza mabao Msimbazi

Onana ni miongoni mwa wachezaji ambao tayari wamefanyiwa vipimo vya afya na Simba kuelekea pre-season itakayofanyika Uturuki

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
10h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
10h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
17h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
18h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
19h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’