Klabu ya Yanga imezindua jezi za msimu mpya 2023/24 nchini Malawi ambako wamealikwa katika sherehe za Uhuru wa nchi hiyo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Samia Suluhu Hassan na Rais wa Malawi Lazarus Chakwera walizindua jezi hizo ambazo tayari zinapatikana madukani kwa bei ya Tsh 40,000/-
Hii inaweza kuwa rekodi kwa klabu ya mpira wa miguu barani Afrika kuzindua jezi ndani ya Ikulu ya nchi mbele ya marais wawili...!




