Azam - Local - Transfer

Diao aiponza Azam Fc

Joel JJ By Joel JJ
β€’
7 Jul 2023
Diao aiponza Azam Fc

Baada ya Azam Fc kumtangaza mshambuliaji Alassane Diao raia wa Senegal kutoka klabu ya US Goree, miamba hiyo ya Senegal imesikitishwa na kitendo cha Waoka Mikate hao kumsajili nyota wao huyo ambaye bado ana mkataba nao

Kupitia taarifa yake kwenye mitandao ya kijamii klabu hiyo ambaye Rais wake ndio Rais wa Shirikisho la Soka la Senegal, Augustin Senghor imebainisha kuwa Alassane Diao bado ana mkataba na US Goree na inaashiria kuwa hakuna mazungumzo yoyote ambayo yaliyoanzishwa na Azam FC juu ya mchezaji huyo

"Kupitia mitandao ya kijamii, UNION SPORTIVE GOREENNE imebaini kuhusu utiaji saini wa mkataba wa miaka miwili kati ya mchezaji wetu ALASSANE DIAO na klabu ya AZAM FC ya TANZANIA"

"Mchezaji ALASSANE DIAO bado ana mkataba na US Goree, na kwamba hakuna mazungumzo yoyote yaliyoanzishwa na klabu ya AZAM FC (TANZANIA) katika mwelekeo wa kumwachilia mchezaji huyo hivyo hawezi kufuzu kucheza katika klabu nyingine nchini Senegal au kimataifa kabla ya mwisho wa mkataba wake wa sasa"

"Kwa kuheshimu taratibu zinayosimamia soka, US Goree inasisitiza dhamira yake ya kutii sheria za uhamisho zilizowekwa na FIFA na kuhakikisha maslahi ya klabu na wachezaji wake walio chini ya mkataba" imesema taarifa hiyo

More Stories

Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizzima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
3h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
7h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
7h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
8h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
9h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
9h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
10h ago
READ MORE β†’
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
Patrice Motsepe kuwasili Tanzania kwa ukaguzi wa maandalizi ya AFCON 2027
10h ago
READ MORE β†’
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
Alama tatu za jasho na damu kwa Yanga SC...! Yanga 1-0 Geita Gold
1d ago
READ MORE β†’
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
Highlights : Yanga 1-0 Geita Gold
1d ago
READ MORE β†’