Joash Onyango beki wa kati wa Simba amejiunga na klabu ya Singida Fountain Gate, imefahamika
Onyango amejiunga na Singida Fountain Gate baada ya kufikia makubaliano binafasi ya uongozi wa Simba kuvunja mkataba wake
Beki huyo raia wa Kenya aliomba kuondoka Simba baada ya msimu kumalizika




