Yanga - Local

Kocha Mkuu Yanga atua kuanza kazi

Joel JJ By Joel JJ
β€’
8 Jul 2023
Kocha Mkuu Yanga atua kuanza kazi

Kocha Mkuu wa Yanga Miguel Gamondi amewasili nchini usiku wa kuamkia leo akitokea Hispania

Ujio wa kocha huyo ni ishara sasa Yanga iko tayari kuanza maandalizi ya msimu mpya ambapo siku ya Jumatatu atawakaribisha wachezaji wake Avic Town

Aidha wakati wowote Yanga itatangaza benchi la ufundi kabla na kuanza zoezi la kutangaza wachezaji wapya, zoezi linalosubiriwa kwa hamu na mashabiki wa Yanga

Yanga ilimpa Gamondi nafasi ya kuamua watu ambao atafanya nao kazi katika benchi la ufundi hivyo Wananchi watarajie kuona mabadiliko

Nafasi zinazosubiriwa kutangazwa ni Kocha Msaidizi, Kocha wa magolikipa, Kocha wa viungo na mchambuzi wa sayansi ya mpira (Football Analyst)

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’