Yanga imemtambulisha beki kisiki Gift Fred kutoka klabu ya SC Villa ya Uganda
Fred beki bora wa Ligi Kuu ya Uganda katika msimu uiliopita, amejiunga na mabingwa wa nchi kwa mkatava wa miaka mitatu
Ni miongoni mwa wachezaji wanaotegemewa katika kikosi cha timu ya Taifa ya Uganda
Fred anakuwa mchezaji wa pili kusajiliwa na Yanga katika dirisha hili la usajili baada ya Nickson Kibabage



