Rasmi klabu ya Yanga imetangaza Wiki ya Mwananchi mwaka huu itafanyika Julai 22 katika uwanja wa Benjamin Mkapa jijini Dar es salaam
Timu hiyo imetangza kufanya tukio hilo mapema kuliko ilivyozoeleka kutokana na muingiliano wa ratiba ambao mwezi August mechi za Ngao ya Jamii zitapigwa mapema na pengine kufuatiwa na mechi za hatua ya awali ligi ya mabingwa barani Afrika kabla ya Ligi Kuu ya NBC kuanza
Kauli mbiu ya Wiki ya Wananchi mwaka huu ni HII IMEENDA...!
Klabu ya Kaizer Chiefs imetajwa kualikwa kunogesha Tamasha hilo