Al Ahli wanatayarisha dau la pauni milioni 30 kumnunua winga wa Algeria Riyad Mahrez, 32, kutoka Manchester City. (Athletic -Subscription required) Kocha wa City Pep Guardiola anatazamiwa kufanya mazungumzo na Mahrez kutokana na nia hiyo kutoka Saudi Arabia. (Mirror)
..... download Xtra 90 App



