Simba - Local - Transfer

Simba yamshusha Ngoma Dar

Joel JJ By Joel JJ
β€’
14 Jul 2023
Simba yamshusha Ngoma Dar

Ni rasmi klabu ya Simba imetambulisha usajili wa kiungo mahiri Fabrice Ngoma kutoka klabu ya Al Hilal ya Sudan

Huu unaweza kuwa usajili mkubwa zaidi uliofanywa katika dirisha hili la usajili mpaka sasa

Ngoma ni mchezaji wa daraja la juu ambaye amepata mafanikio katika klabu alizopita

Baada ya kupata mafanikio makubwa akiwa na AS Vita, msimu wa 2018/19 Ngoma akajiunga na Raja Casablanca kwa misimu mitatu kabla ya kutimkia Arabuni alikocheza kwa muda mfupi kisha kurejea Afrika alikojiunga na Al Hilal msimu uliopita

Aliitumikia Al Hilal kwa msimu mmoja tu ambapo hivi karibuni alivunja mkataba wake wa miaka miwili uliokuwa umesalia na timu hiyo

Inafahamika huko Sudan hakuna mazingira rafiki ya kucheza soka kutokana na vita inayoendelea, hii ndio sababu iliyopelekea Ngoma kuvunja mkataba wake sambamba na wachezaji wengine watatu

More Stories

Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
Mnyama avunja uteja Chamazi, sasa macho Dabi ya Kariakoo
9h ago
READ MORE β†’
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
Simba mwendo mdundo, yaichapa Azam Fc 2-0
9h ago
READ MORE β†’
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
Highlights : Azam Fc 0-2 Simba
9h ago
READ MORE β†’
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
Mizizima derby pilato Herry Sasii kuwaamua Azam na Simba
13h ago
READ MORE β†’
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
Klopp amchagua Ter Stegen, kipa namba moja Ujerumani
16h ago
READ MORE β†’
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
Mo Dewji aichochea Simba, aweka milioni 200 dhidi ya Azam
17h ago
READ MORE β†’
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
BREAKING: Chelsea wagonga hodi PSG kwa Fabian Ruiz
17h ago
READ MORE β†’
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
Pape sakho kutoa nafasi Raja kumsajili Philipinho
18h ago
READ MORE β†’
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
Kocha De Zerbi na Tottenham Yake Mambo magumu, Watolewa kwenye Carabao Cup
19h ago
READ MORE β†’
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
Azam FC dhidi ya Simba leo, hatumwi mtoto dukani
20h ago
READ MORE β†’