Azam inaendelea kujiandaa kwaajili ya msimu ujao Ligi Kuu na kimataifa nchini Tunisia
Julai 19 itacheza mchezo wa pili wa kimatiafa wa kirafiki dhidi ya Esperance ya nchini humo
Mchezo huu wa kirafiki unatarajiwa kupigwe katika uwanja wa Taifa wa Rades nchini Tunisia saa 1:30 usiku kwa saa za Afrika Mashariki
Awali Uwanja wa Park Esperence ulipangwa kufanyika mchezo huo kabla ya kupeleka maombi ya kuomba uwanja serikalini na wanasubiri majibu



